iqna

IQNA

imam mahdi
Mwokozi
IQNA - Mwanachuoni wa Lebanon amesema kutekeleza mafundisho na Sira ya Mtukufu Mtume (SAW) na Etrat (Ahul Bayt wa Mtume SAW) ni muhimu kwa ajili ya kujitayarisha kwa ajili ya kudhihiri Mwokozi anayesubiriwa.
Habari ID: 3478411    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25

Mwokozi
IQNA - Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yamekamilika mapema wiki hii, siku chache kabla ya Nisf-Shaaban, ambayo inaadhimisha kuzaliwa kwa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake).
Habari ID: 3478410    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25

IQNA – Qur’ani Tukufu inarejea kwenye bishara zilizotajwa katika baadhi ya vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyotangulia na inasisitiza kwamba watu wema ndio watakaotawala juu ya ardhi yote.
Habari ID: 3478409    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24

IQNA – Imepokewa kutoka katika Aya ya 7 ya Surah Ar-Raad kwamba siku zote kuna uongozi wa kiongozi aliyechaguliwa na Mwenyezi Mungu katika jamii za wanadamu na hivyo ardhi haijawahi kukosa mtu ambaye ni Hujjat (ushahidi au hoja ya Mwenyezi Mungu).
Habari ID: 3478404    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23

IQNA - Kama vitabu vya Mwenyezi Mungu vilivyotangulia, Qur'ani Tukufu inatoa habari na bishara njema ya kuundwa kwa serikali ya ulimwengu yenye umoja duniani ambayo itaongozwa na watu wema na waliokuwa wamedhulumiwa na kukandamizwa.
Habari ID: 3478397    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/22

Ahul Bayt AS
IQNA – Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania wameanza kusherehekea Idi ya Nisf-Shaaban, kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhiri kwake).
Habari ID: 3478382    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/20

Mawaidha
TEHRAN (IQNA)- Tarehe 9 Mfunguo Sita Rabiul Awwal miaka 1185 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria Qamaria, baada ya kuuawa shahidi Imam Hassan Askari (AS) kilianza rasmi kipindi cha uongozi wa Imam wa Zama, Imam Mahdi (-Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake-AF-).
Habari ID: 3477648    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/24

Ahul Bayt wa Mtume (SAW)
Tuko katika siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ambayo ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama, Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake).
Habari ID: 3476675    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Katika wakati huu wa kukarbia siku ya 15 ya mwezi wa Hijri wa Sha'aban, Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali (AS) mjini Berlin, Ujerumani, kimeandaa msururu wa mashindano ya watoto, vijana na vijana.
Habari ID: 3476639    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28

QOM (IQNA) –Msikiti wa Jamkaran ulio katika mji wa Qom nchini Iran umesafishwa ili kuutayarisha kwa ajili ya sherehe za siku ya katikati ya Sha’aban ambayo pia ni maarufu kama Nisf Sha'ban
Habari ID: 3476636    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27

Spika wa Bunge la Iran katika Kongamano la Kimataifa la Wanaharakati wa Umahdi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Iran amesema chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni fikra za Imam Mahdi, Mwenyezi Mungu Aharikishe Kudhihiri Kwake, na Ashura.
Habari ID: 3475346    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07

TEHRAN (IQNA)-Tuko katika siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ambayo ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama, Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake).
Habari ID: 3475051    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/18

TEHRAN (IQNA) - Nuru ya umaanawi ya uwepo wa Imam Mahdi AS imeenea hata katika wakati huu wa "ghaiba" wa kutokuwepo mtukufu huyo machoni mwa walimwengu.
Habari ID: 3473768    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/28

Kiongozi Muadhamu katika hotuba ya Idi ya Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio la kina na pana la mwanadamu wa leo la kuwa na mkombozi halina kifani katika historia.
Habari ID: 3472649    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/09

Sayyed Hassan Nasrallah kwa masaba wa Nisf Shaaban
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema, hivi sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kuna utawala ghasibu ambao una hofu una hofu kuwa uhai wake hautazidi miaka 80.
Habari ID: 3472644    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08

TEHRAN (IQNA)- Tarehe 15 Shaaban Hijiria Qamaria ni kumbukumbu ya kuzaliwa mwokozi wa ulimwengu, Imam Mahdi –Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake- (ATF).
Habari ID: 3472641    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07

TEHRAN (IQNA)-Tuko katika siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ambayo ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama Imam Mahadi (-Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake-af).
Habari ID: 3470976    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/12